Rooney apishana na Lukaku Manchester united
Klabu ya Manchester united yakubali kutoa paund milioni 75 kwa klabu ya Everton ili kukamilisha usajili wa Romelo Lukaku.
Mshambuliaji huyo alifanikiwa kufunga magoli 71 katika michezo 133 aliyocheza tangu ajiunge na klabu hiyo mwaka 2014 .
Manchester united imefanikiwa kuziba pengo la Ibrahimovic aliyeachwa huru mwishoni mwa msimu huu kwa kumnasa mshambuliaji huyo mwenye miaka 24 kama mbadala wa muda mrefu huku klabu ya Everton ikipewa nafasi kubwa ya kumrudisha Wayne Rooney msimu huu.
Mshambuliaji huyo alifanikiwa kufunga magoli 71 katika michezo 133 aliyocheza tangu ajiunge na klabu hiyo mwaka 2014 .
Manchester united imefanikiwa kuziba pengo la Ibrahimovic aliyeachwa huru mwishoni mwa msimu huu kwa kumnasa mshambuliaji huyo mwenye miaka 24 kama mbadala wa muda mrefu huku klabu ya Everton ikipewa nafasi kubwa ya kumrudisha Wayne Rooney msimu huu.
Comments
Post a Comment