Man united kusajili watatu wiki hii
Mtendaji mkuu wa klabu ya Manchester united Ed Woodward amebaki jijini ili kuhakisha kuwa anakamilisha biashara ya kuwasajili wachezaji watatu ndani ya wiki hii taarifa kutoka mtandao wa Manchester Evening News imesewa kuwa Woodward alitakiwa kuhudhuria mjini Houston ili kushuhudhia mchezo wa Manchester derby lakini ameshindwa kutokana na majukumu yake ya kazi ili kuhakikisha kuwa anafanikisha dili la wachezaji Dier,Perisic na Matic au wawili kati yao na ikishindikana wawili basi hata mmoja wao mapema wiki hii.
Kocha huyo mbwatukaji wa Manchester united kwa sasa bado hajaonana na mtendaji huyo tangu aseme waziwazi kuwa hafurahishwi na utendaji wa kazi wa klabu yake katika idara ya hiyo kwa kushindwa kuwasajili mapema orodha ya majina ya wachezaji alioiwasilisha.
Kocha huyo mbwatukaji wa Manchester united kwa sasa bado hajaonana na mtendaji huyo tangu aseme waziwazi kuwa hafurahishwi na utendaji wa kazi wa klabu yake katika idara ya hiyo kwa kushindwa kuwasajili mapema orodha ya majina ya wachezaji alioiwasilisha.
Comments
Post a Comment