Matic kumalizana na Manchester united
Imethibitishwa na sky kuwa matic anakaribia kujiunga na Manchester na muda wowote kuanzia sasa atafanyiwa vipimo vya afya Matic anatarajia kufanya kazi tena na kocha Jose Mourinho baada ya kutengana nae mwaka 2014 wakati ambao Mourinho alitolewa muhanga na Abrohmovic baada ya mwenendo mmbovu wa klabu hiyo na mwaka 2016 Mou akajiunga na mahasimu wakubwa wa klabu ya Chelsea jiji ya la London ambayo ni klabu ya Manchester united.
Matic ni chaguo la kwanza kwa kocha Jose Mourinho katika nafasi ya kiungo mbele ya mchezaji Fabinho, kocha huyo mreno amesema wazi kuwa anahitaji kiungo wa kati na mshambuliaji mmoja wa pembeni ili kuanzisha nafasi ambayo anahushwa Perisic wa Inter Milan.
Matic ni chaguo la kwanza kwa kocha Jose Mourinho katika nafasi ya kiungo mbele ya mchezaji Fabinho, kocha huyo mreno amesema wazi kuwa anahitaji kiungo wa kati na mshambuliaji mmoja wa pembeni ili kuanzisha nafasi ambayo anahushwa Perisic wa Inter Milan.
He has already signed for Manchester United. There are leaked pictures on internet showing him wearing a Manchester United training kit.
ReplyDeleteHe is a good signing for Manchester United. He is good additional to the squad.
ReplyDeleteHe should play alongside Paul Pogba or Ander Herrera. They will make a good combination.
ReplyDelete