Man united yafanya hatari katika tuzo za ligi kuu Uingereza
Lukaku ametajwa katika majina wachezaji watatu waliochaguliwa kugombea mchezaji bora wa mwezi wa nane(August) huku Manchester ikifanikiwa kutoa majina manne likiwemo la kocha Jose Mourinho anaegombea tuzo ya kocha bora wa mwezi huku mengine yaliotajwa ni Phil jones na Mkhitaryan.
Lukaku aliekuwa mchezaji wa Everton amefanikiwa kufunga magoli matatu hadi sasa katika mechi tatu alizocheza ukiacha majina hao wengine wanaogombea ni Morata wa Chelsea, Saido Mane na Salah wote wakiwa wachezaji wa Liverpool na kipa wa Huddersfield aitwae Jonas Lossl.
Lukaku aliekuwa mchezaji wa Everton amefanikiwa kufunga magoli matatu hadi sasa katika mechi tatu alizocheza ukiacha majina hao wengine wanaogombea ni Morata wa Chelsea, Saido Mane na Salah wote wakiwa wachezaji wa Liverpool na kipa wa Huddersfield aitwae Jonas Lossl.
Comments
Post a Comment